Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa jamii ya Kipsigis wafanya maombi maalum kwa heshima ya marehemu Johanna Ng’eno

  • | Citizen TV
    5,258 views
    Duration: 1:20
    Wazee wa Myoot wa jamii ya Kipisigis wamefanya maombi maalum katika mlima wa Emurua Dikirr kwa heshima ya marehemu Johanna Ng’eno aliyeaga dunia kufuatia ajali ya ndege pamoja na watu wengine watano