Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa jamii ya Meru wataka tamasha za jamii zikumbatiwe

  • | Citizen TV
    725 views
    Duration: 1:37
    Wazee wa jamii ya Meru kaunti ya Mombasa wanataka serikali za kaunti kukumbatia tamasha za kitamaduni kote nchini ili kudumisha umoja baina ya jamii na kuhakikisha kizazi cha sasa hasa vijana wanatambua tamaduni.