Skip to main content
Skip to main content

Waziri Duale apuuza madai ya kutoa taarifa za matibabu ya Wakenya kwa Marekani

  • | Citizen TV
    1,185 views
    Duration: 48s
    Waziri wa Afya Aden Duale amepuuza madai ya kuwa maelezo ya kibinafsi ya matibabu ya wakenya yanatumwa kwa serikali ya Marekani, chini ya mkataba mpya wa afya uliotiwa saini wiki jana.