- 636 views
Kenya itatumia shilingi bilioni 91 katika zoezi la kuwatuma maafisa wa polisi wa kenya kulinda usalama nchini haiti. Waziri wa Usalama Kithure Kindiki amesema haya mbele ya kamati ya pamoja ya usalama bungeni ambapo pia ametoa hakikisho kuwa kuondoka kwa polisi kujiunga na vikosi Haiti hakutaathiri usalama wa Kenya. Aidha, Inspekta wa Polisi Japhet Koome pia amefika mbele ya kamati hiyo akisema ni dharura kwa polisi wa kenya kwenda nchini humo kukabiliana na ukiukaji wa haki za binaadam unaoendelea
Waziri Kithure Kindiki asema Kenya itatumia shilingi bilioni 91 kuwatuma maafisa wa polisi Haiti
- 17 May 2024 - A vaunted 'new era' of strategic partnership between Russian President Vladimir Putin and his counterpart Xi Jinping begun in Beijing on Thursday may not exactly have been sealed with a kiss, but it did lead to rare hugs between them.
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - The exits of these companies pose great financial implications for the job market.
- 17 May 2024 - He urged the people of Mt Kenya to unite and support one of their own.
- 17 May 2024 - The governor was given 7 days to issue clarity on the matter that has been greatly opposed by a section of Nairobi residents.
- 17 May 2024 - Two deaths came from fallen trees and one from a crane blown over.
- 17 May 2024 - "I'm with Kenyans, the Kenyans movement. We are in the streets," he said.
- 17 May 2024 - It was constructed and equipped at a cost of Sh1.06 billion.
- 17 May 2024 - Say they learned about the conference through media publications