- 225 views
Waziri mkuu wa Haiti Ariel Henry amejiuzulu kutokana na utovu wa usalama unaoendelea nchini humo. Muungano wa mataifa ya carribean unaongozwa na rais wa Guyana Irfaan Ali umethibitisha kujiuzulu kwa waziri mkuu huyo. Henry mwenye umri wa miaka sabini na nne ni daktari aliyesomea taaluma ya upasuaji wa ubongo kabla ya kushika hatamu za uongozi mwaka wa 2021 wakati rais wa taifa hilo alipouawa na wanamgambo. Henry alizuru Kenya hivi majuzi na kutia saini mkataba na rais William Ruto wa kuwezesha na kurushu kenya kutuma walinda usalama kusaidia katika juhudi za kiusalama huko Haiti. Taifa hilo limekumbwa na misukosuko huku makundi ya watu waliojihami yakitatiza shughuli za usalama.
Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry ameondoka mamlakani kufuatia uhasama
- - LIVE|| TV47 News Now ››
- - Flood deaths hit 82 ››
- 28 Apr 2024 - An earthquake of magnitude 6.5 struck Japan's Bonin Islands, the United States Geological Survey (USGS) said on Saturday.
- 28 Apr 2024 - Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
- 28 Apr 2024 - A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
- 28 Apr 2024 - Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
- 28 Apr 2024 - Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.
- 28 Apr 2024 - Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.
- 28 Apr 2024 - Crisis looms as schools to reopen amid floods, interns strike threat
- 28 Apr 2024 - Teachers at the forefront of getting girls vaccinated against deadly virus
- 28 Apr 2024 - 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
- 28 Apr 2024 - Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest