- 516 views
Waziri wa Mazingira, Mabadiliko ya Tabianchi, na Misitu Soipan Tuya amesema kuwa Kenya itahitajika kutafuta mbinu mpya ya kukabili mabadiliko ya tabianchi. Waziri huyo amesema kuwa licha ya mkutano wa kimataifa kuhusu mabadiliko ya tabianchi kuafikia ufadhili zaidi kutoka mataifa yanayochangia pakubwa uchafuzi wa mazingira, kiasi kikubwa cha fedha zinazoahidiwa kwa bara afrika haziwezi kusaidia kutokana na viwango vikubwa vya riba. Wakizungumza huko kabete walikowatembelea waathiriwa wa mafuriko, Mawaziri Tuya na mwenzake wa leba Florence Bore wamewaahidi waathiriwa wa mafuriko kuwa serikali inatafuta ardhi ili kuruhusu baadhi ya wahanga wa mafuriko kuhama kutoka katika maeneo ambayo yanakumbwa na mafuriko. WIzara ya afya itatoa dawa kwa waathiriwa ili kuzuia magonjwa yatokanayo na maji chafu.Zaidi ya nyumba sitini Kabate zimesombwa na mafuriko.
Waziri Soipan Tuya awatembelea waathiriwa wa mafuriko Kabete
- - China ››
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga has intervened to calm the growing tensions and divisions within the party in Migori County. During his visit to the county for the installation ceremony of the Seme Council of Elders chairman in Kwa…
- 19 May 2024 - President Ruto will be only the sixth head of state—after South Korea, France, India, Australia and Japan—to be accorded a State visit during the Biden presidency.
- 19 May 2024 - Jailed Iranian Nobel Peace Prize winner Narges Mohammadi says she is facing a new trial after she accused the s*************s of s****lly a*****ting women. In a message from Evin prison where she is being held, Ms Mohammadi said the trial relates to an…
- 19 May 2024 - The visit is primed with symbolic significance.
- 19 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to sp*ed with today’s happenings. Ruto flies to US President Wi*liam […]
- 19 May 2024 - "I believe he won a few of the rounds, but I won the majority," a defiant Fury said in the ring.
- 19 May 2024 - He reminded political leaders to shun using blackmail as a way to survive in politics
- 19 May 2024 - Nothing delights of our politicians more than a good disaster photo op
- 19 May 2024 - Office of retired president crippled with budget freezes that Uhuru's staff attribute to politics of retribution.
- 19 May 2024 - Experts call on government to focus on growing the GDP.