Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa utalii Rebecca Miano azindua makala ya 32 ya mashindano ya ngamia Samburu

  • | Citizen TV
    417 views
    Duration: 3:01
    Waziri wa utalii Rebecca Miano, amezindua rasmi makala ya 32 ya mashindano ya kimataifa ya Ngamia katika Uga wa Yare mjini Maralal katika kaunti ya Samburu. Miano amedokeza kuwa mashindano hayo yanachangia Kwa ukuaji wa utalii nchini.