Skip to main content
Skip to main content

Wenye matatu walalamikia kuharibikiwa na magari yao Mombasa

  • | Citizen TV
    7,592 views
    Duration: 6:47
    Wamiliki wa matatu kaunti ya Mombasa wanalalamikia barabara mbovu katika MAENEO ya Bombululu hadi eneo la lights wakisema imechangia kwa magari kuharibika kila mara. Hali hii pia imechangia kuwepo kwa msongamano wa magari hasa asubuhi na jioni