- 100 views
Wenyeji wa eneo la Mahola katika eneo bunge ya Alego-Usonga wanalalamikia kukithiri kwa wizi wa mifugo katika eneo hilo baada ya zaidi ya ng’ombe 20 kuibwa katika kipindi cha chini ya siku tatu. Wakiongozwa na Mama Rose Akoth, ambaye ni mwathiriwa wa hivi punde, wakazi hao wanasema kuwa wezi wanalenga nyumba za wajane, wakilalamika kuwa licha ya kupiga ripoti kwa ofisi ya chifu na kituo cha polisi cha Mwer hakuna hatua yoyote imechukuliwa.Wajane hao wanaeleza kuwa mifugo wanaoibwa ndio kitega Uchumi chao. Kilio chao sasa ni kwa idara ya usalama kuongeza doria usiku.
Wenyeji wa Mahola Alego Usonga wanalalamikia wizi wa mifugo
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Confusion is looming at Mama Rachel Ruto Maternity Hospital in Uasin Gishu County following contradictory statements over the closure of the facility by senior officers at Governor Jonathan Bii’s administration. A notice issued by the facility’s Board…
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto