Skip to main content
Skip to main content

Wito wa kuboresha huduma za kifafa huku Hospitali ya AIC ikizinduliwa Kajiado

  • | Citizen TV
    229 views
    Duration: 4:15
    Ugonjwa wa kifafa unaendelea kuwa changamoto ya afya nchini, huku maelfu ya wagonjwa wakikumbana na unyanyapaa, gharama kubwa za matibabu na changamoto ya kupata huduma za kitaalamu. Hali hiyo imechochea wito wa kuongezwa kwa uhamasisho na kuboreshwa kwa huduma za matibabu, hasa katika Kaunti ya Kajiado ambako Hospitali ya Kifafa ya AIC imezinduliwa ili kuwapa matumaini wagonjwa na familia zao.