Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Elimu yawapeleka shule wanafunzi 25 wa Gredi 10 wa Mukuru kwa Njenga waliokosa karo

  • | Citizen TV
    382 views
    Duration: 3:25
    Wizara ya Elimu hatimaye imewakusanya na kuwapeleka shule wanafunzi wa Gredi ya 10 katika mtaa wa Mukuru kwa Njenga jijini Nairobi ambao walikuwa wameshindwa kuripoti shuleni kwa kukosa karo na pesa za mahitaji mengine. Zoezi hilo linafuatia taarifa ya runinga ya Citizen katika eneo hilo iliyobaini kuwa wanafunzi 25 walikuwa bado hawajajiunga na shule kutokana na changamoto za kifedha.