- 159 views
Katika njia tatanishi wizara ya fedha imetoa malipo ya shilingi bilioni tisa nukta nane kulipa madeni ya nyumba za bei nafuu na za idara ya polisi pamoja na shilingi milioni mia mbili kumi na saba katika idara ya marekebishob licha ya kamati inayochunguza madeni ya shilingi bilioni mia sita kubaini iwapo ni halali au haramu. Hatua hiyo inayokinzana na msimamo wa rais William Ruto kuwa ni sharti madeni yote yachunguzwe imejiri wakati ambapo mdhibiti wa bajeti margaret nyakango anadai wizara ya fedha inaitisha fedha bila kutoa stakabadhi zote hitajitika. Ripoti ya ofisi hiyo vilevile imebainisha jinsi shilingi milioni sabini na tano zililipwa kukabiliana na nzige ambazo wanakamati wa fedha wanaamini hawakuonekana nchini katika kipindi hicho.
Wizara ya fedha yatoa malipo kulipa madeni ya nyumba za bei nafuu
- 2 May 2024 - A police officer died in Matungulu, Machakos County after his car was swept away by floods in River Kware on Wednesday afternoon.
- 2 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja is under fire over the county’s response to floods from the heavy rainfall being experienced across the country.
- 2 May 2024 - Education Cabinet Secretary Ezekiel Machogu has been summoned to appear before the National Assembly Committee on Education.
- 2 May 2024 - You also need to ensure that your electricity mains are switched off.
- - MPs debate Agriculture CS Mithika Linturi's impeachment Motion
- 2 May 2024 - This incident is the latest in a series of unfortunate events stemming from the raging floods the country is experiencing at the moment.
- 2 May 2024 - A formal request has been issued to the United States Speaker of the House of Representatives and Republican member of Congress Mike Johnson; for President William Samoei Ruto to address a joint session of Congress.
- 2 May 2024 - Police tore down a protest encampment at the University of Texas on Wednesday, arresting more than a dozen people, as unrest over Israel's war against Hamas in Gaza simmered on US campuses.
- 2 May 2024 - A letter of appointment was recovered from the deceased's pockets.
- 2 May 2024 - Colombian President Gustavo Petro said on Wednesday he will break diplomatic relations with Israel over its actions in Gaza.