Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya usalama yaimarisha vita dhdi ya ulanguzi wa dawa za kulevya

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 1:48
    Serikali inasema imeweka mikakati kabambe ya kupambana na ulanguzi wa mihadarati nchini kwa kuimarisha usalama mipakani. Katibu wa usalama Dkt Raymond Omollo anazungumza sasa baada ya mkutano na wakuu wa usalama mombasa.