- 16,260 viewsDuration: 2:39Visa vya wizi wa kimabavu vimeendelea kuripotiwa katika maeneo kadhaa hapa jijini Nairobi, huku matumizi ya pikipiki na bunduki yakiendelea kuhatarisha maisha ya wananchi. Kisa cha hivi punde kiliripotiwa eneo la Parklands, Nairobi, baada ya majambazi waliojihami kuwaibia wananchi peupe. Tukio hilo linadaiwa kunaswa kwenye kamera za CCTV. Ode Francis ana mengi zaidi.