- 643 viewsMajimbo hayo ambayo ni maarufu kama ‘Swing States’ ni muhimu kushinda kuingia White House mwaka 2024. Majimbo haya yanayoshindaniwa yanashuhudia kampeni kali za kisiasa na za gharama, na wapiga kura wake wanaushawishi mkubwa katika uchaguzi huo. Kwa hivyo hili linafanyika vipi? Majimbo mengi zaidi yanatabirika kuwa mekundu au bluu (Republikan au Democratic), hivyo chaguzi zao hazina ushindani. Lakini katika swing states, matokeo ya uchaguzi yanaweza kuelemea upande wowote. Mgombea anahitaji kura za wajumbe 270 kati ya 538 kushinda urais, kawaida kuna majimbo ambayo mshindi anachukua kura zote za wajumbe. Swing states hutoa kura za maamuzi, na kuwaruhusu wagombea kuvuka kizingiti kilichowekwa. Mwaka huu, Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin wana uamuzi nani ataingia White House. Kati yao, kuna kura za wajumbe 93 ambazo zinaweza kuelemea upande mwekendu au bluu. Majimbo haya yana kura chache za wajumbe kwa sababu ya uwiano wa karibu kati ya wapiga kura wa Republikan na Demokrat. Kuhama kwa idadi ya watu na ushindani wa maoni kati ya maeneo ya mijini na vijijini unafanya matokeo hayatabiriki. Endelea kusikiliza... #swingstates #marekani #uchaguzimkuu2024 #warepublikan #wademokratiki #wapigakura
Yafahamu majimbo maarufu kama 'Swing States' ambayo wagombea ni muhimu kushinda kuingia White House
- - 🔴 KTN LIVE STREAM ››
- 18 Jun 2025 - Inspector Christine Muthoni of Muthangari Police Station reported the incident early on Tuesday morning.
- 18 Jun 2025 - In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
- 18 Jun 2025 - Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
- 18 Jun 2025 - The father of Boniface Mwangi Kariuki, the 22-year-old hawker who was shot in the head by an anti-riot police officer along Moi Avenue in Nairobi during protests, is now appealing for justice and speedy action.
- 18 Jun 2025 - The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.
- 18 Jun 2025 - A police officer was caught on camera shooting the hawker during the Tuesday protests.
- 18 Jun 2025 - "He is still not in good condition. I am deeply saddened by his condition, but I am hopeful that he will recover," said Jonah Kariuki at KNH on Wednesday.
- 18 Jun 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Migos has announced that the government will strengthen the school audit system to ensure the prudent use of public funds in the education sector. Speaking at the inaugural National Retreat of Public Universities…
- 18 Jun 2025 - Education ministry to enforce stricter audits as sector gets Ksh702.7 Billion in budget The post CS Migos: No room for misuse of school funds appeared first on KBC Digital .
- 18 Jun 2025 - Calm has returned to the Nyamira County Assembly after a leadership dispute gripped the devolved unit for over ten months.