13 Jul 2026 10:45 am | Citizen TV 291 views Duration: 1:59 Na katika kaunti ya Bomet, wakazi zaidi ya 3,000 wa Kapkesosio eneobunge la Chepalungu nao pia walinufaika kwa matibabu ya bure kwenye kambi iliyoandaliwa na serikali ya kaunti hiyo ikishirikiana na wakfu wa Mpesa .