Skip to main content
Skip to main content

Ziwa Baringo lavunja kingo zake na kuzua hofu

  • | KBC Video
    165 views
    Duration: 3:29
    Janga la maafa limekumba ziwa Baringo katika kaunti ya Baringo kwa mara nyingine huku familia kadhaa, shule, mashamba na hoteli zilizo karibu na ziwa zikifurika maji kutokana na kupanda kwa kiwango cha maji ya ziwa hilo. Haya yanafuatia mvua kubwa iliyonyesha eneo hilo ambapo ziwa Baringo lilivunja kingo zake na maji kufurika kwenye maeneo ya karibu ukiwemo uharibifu wa miundomsingi kwenye eneo la ziwa hilo. Hali hiyo imesababisha wakazi kushambuliwa na wanyama kama vile mamba na viboko ambao wamevutwa na mkondo wa maji na kukaribia makazi ya wenyeji. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive