Skip to main content
Skip to main content

Mackenzie FC wanyakuwa ubingwa wa Mchuano wa Makena Junior

  • | Citizen TV
    290 views
    Duration: 1:16
    Mackenzie fc wamenyakuwa kwa mara ya tatu mfululizo taji la mchuano wa Makena Junior kwa kuwalaza Shakahola fc mabao matatu kwa moja katika uwanja wa chuo cha kiufundi cha Katine huko Machakos.