Skip to main content
Skip to main content

Polisi Kisii waanza msako wa genge la vijana lililosababisha kifo cha mmoja na kujeruhi wengine

  • | Citizen TV
    8,148 views
    Duration: 3:06
    Polisi kaunti ya Kisii wameanzisha msako wa genge la vijana linaloendeleza uhalifu uliosababisha kifo cha kijana mmoja na wengine kadhaa wakijeruhiwa. Waathiriwa wakiwachwa na majeraha ya mapanga na visu. Kwa mujibu wa wenyeji, washirika wa genge hilo wamekuwa wakizunguka na pikipiki kutekeleza uhalifu