Skip to main content
Skip to main content

Waandishi 5 wa habari wauawa Gaza, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    13,595 views
    Duration: 28:10
    Kumekuwa na wito mkubwa duniani kulaani mauaji ya mwandishi mashuhuri wa Al Jazeera, Anas al-Sharif, katika shambulio la Israel huko Gaza. Israel inadai kuwa alikuwa kiongozi wa kikosi cha Hamas kilichopanga mashambulizi ya roketi, madai ambayo yamekanushwa vikali na shirika hilo la habari lenye makao yake nchini Qatar. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw