Skip to main content
Skip to main content

Wezi wa mifugo waiba ng'ombe 400 kijijini Lopii Turkana

  • | Citizen TV
    1,596 views
    Duration: 3:52
    Hali ya taharuki imetanda katika Kijiji cha Lopiii Turkana mashariki, baada ya wezi wa mifugo kumuua mtu mmoja kwa kumpiga risasi na kuiba mifugo wapatao 400.