Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya vijana walalamika hawajapokea pesa katika mradi wa Nyota Turkana

  • | Citizen TV
    235 views
    Duration: 1:59
    Vijana zaidi ya mia moja kutoka kaunti ya Turkana waliokuwa wamesajiliwa katika mradi wa NYOTA uliyozinduliwa mjini Eldoret na rais William Ruto, wanasema hawajapokea pesa hizo kama walivyoahidiwa.