Skip to main content
Skip to main content

Uchaguzi wa viongozi wa KUPPET kaunti ya Kilifi utafanyika Februari 14, 2026

  • | Citizen TV
    137 views
    Duration: 1:41
    Huku uchaguzi wa viongozi wa muungano wa walimu KUPPET ukiendelea katika maeneo mbali mbali humu nchini, viongozi wa muungano huo tawi la Kilifi sasa wanawarai walimu kudumisha amani wakati wa kampeni huku wakiwahakikishia uchaguzi huo utakaofanyika Februari 14 utakuwa wa huru na haki.