Skip to main content
Skip to main content

Oburu awataka viongozi wa chama cha ODM kukomesha malumbano

  • | KBC Video
    450 views
    Duration: 3:53
    Kiongozi wa chama cha ODM Oburu Oginga amewataka baadhi ya viongozi wa chama hicho ,kukomesha malumbano, akisema yanatia doa sifa ya chama.Akiwahutubia wabunge wa chama cha ODM huko Malaba,kaunti ya Busia aliambia pande zinazovutana katika chama hicho kwamba hazitaruhusiwa kuhujumu juhudi za kukiimarisha chama hicho kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive