Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini kesi ya Tundu Lissu Tanzania haitaonekana moja kwa moja?

  • | BBC Swahili
    10,729 views
    Duration: 1:29
    Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imezuia matangazo ya moja kwa moja na uchapishaji wa taarifa za mashahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu.