Skip to main content
Skip to main content

Upekuzi wa BBC Africa Eye waibua waponyaji wasiorasmi wa magonjwa ya kiakili Afrika Kusini

  • | BBC Swahili
    2,381 views
    Duration: 27:32
    BBC Africa Eye inachunguza sekta ya siri ya tiba za kisaikolojia nchini Afrika Kusini, ambako harakati za kutafuta uponyaji kwa kutumia dawa zisizo halali zinaweza kuleta madhara makubwa zaidi. #bbcswahili #bbcafricaeye #afrika #upekuzi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw