Skip to main content
Skip to main content

Agizo la Ruto kwa wakimbizi laibua hofu kuhusu usalama wao

  • | Citizen TV
    10,149 views
    Duration: 2:47
    Kenya imekuwa mwenyeji wa wakimbizi kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika kwa miaka mingi. Hata hivyo, agizo la Rais Ruto kuhusu wakimbizi limeibua hofu na maswali kuhusu mustakabali wa ulinzi wa wakimbizi nchini.