26 Aug 2026 10:37 am | Citizen TV 14,262 views Duration: 1:20 Aliyekuwa spika wa bunge la kitaifa Francis Ole Kaparo aikashifu serikali kwa kukubalia misururu ya vurugu kwenye mikutano ya kisiasa akisema mtindo huu ni tishio kubwa kwa maisha ya wakenya.