- 1,085 viewsDuration: 1:11“Huyu Muhammed Amin ameletwa kwangu na Duale kabla hajapatiwa kiti ya DCI, akitaka nimtemee mate na nikubaliane na Kasongo apatiwe DCI, mimi nikamuuliza Amin, ‘Hii kazi ukipewa, utakuja kuua watu?’ Akasema, ‘Siwezi, mimi ni Muislamu.’” — HE Rigathi Gachagua