Skip to main content
Skip to main content

Azma ya Orengo kuwania urais yaibua mvutano Linda Mwananchi

  • | Citizen TV
    28,218 views
    Duration: 3:17
    Hatua ya Gavana wa Siaya James Orengo kutangaza nia ya kuwania urais ndani ya mrengo wa Linda Mwananchi imeonekana kuleta tumbo joto miongoni mwa wanasiasa wa muungano huo, hasa wanaomuunga mkono Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna. Hata hivyo, Orengo aliyezungumza na runinga ya Citizen amewakashifu wanaopinga azma yake, akisema ushindani ndani ya muungano huo ni ishara ya demokrasia. Baadhi ya viongozi wa muungano huo sasa wanasema uamuzi wa nani atakuwa mgombea tayari umefanywa.