Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wabunge wa kenya kwanza wampigia debe raisi William Ruto pande za Kitui

  • | Citizen TV
    660 views
    Duration: 1:52
    Campaign za kumpigia debe raisi William Ruto zaedelea kupamba moto pande za Kitui ambapo ni gome la upizani kwa mda mrefu, viongozi ambao wako upande wa selikali wakiongozwa na Rachel kaki wazunguka kila mahali wakiwalai wenyenji kumuunga mkono kwa mara ya pili.