- 651 viewsDuration: 3:50Baraza la wazee wa jamii ya Maa kutoka Kaunti ya Kajiado limekemea vikali siasa za mgawanyiko, uchochezi na uhuni zinazodaiwa kuendelezwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa, na kuwataka wananchi kujiepusha na siasa hizo. Robert Masai na maelezo zaidi.