Skip to main content
Skip to main content

Chapa Dimba yaelekea Kisumu: Timu 12 kukutana Mamboleo

  • | Citizen TV
    719 views
    Duration: 1:13
    Timu 12 zinatarajiwa kukutana uwanjani Mamboleo, Kisumu, katika hatua ya mchujo ya Chapa Dimba. Mechi za mchujo zimepangwa kuchezwa kesho.