Skip to main content
Skip to main content

DCP yashutumu Ruto kuhusu mkataba wa Tata Magadi

  • | Citizen TV
    1,040 views
    Duration: 1:17
    Chama cha DCP kimemshutumu Rais William Ruto kwa kuwa na ajenda fiche kufuatia hatua yake ya punde ya kufutilia mbali kandarasi ya kampuni ya Tata iliyoko eneo la Magadi. Chama hicho kinachoongozwa na Rigathi Gachagua kinadai kuwa Rais ana maslahi fulani kuhusu madini yaliyoko eneo hilo, huku kikilalamikia kuwa hatua h