- 963 viewsDuration: 4:46Familia moja kaunti ya Mombasa yalilia haki baada ya jamaa yao kupatikana amechomeka ndani ya nyumba mtaani mikindani. Tukio hilo la tarehe 14 Agosti ladaiwa kuchangiwa na ugomvi kati ya marehemu na mkewe. Inaarifiwa kuwa mshukiwa alimwagiwa petroli na kuteketezwa ndani ya nyumba