7 Sep 2026 10:14 am | Citizen TV 3,181 views Duration: 2:36 Familia ya mwalimu Martina Chepkemoi Ruto inadai haki baada ya kuuawa kwa mwalimu huyo aliyekuwa akifundisha katika Shule ya Sekondari ya Lalagin na mwili wake kutupwa katika Mto Kimugu, Kaunti ya Kericho