- 1,407 viewsDuration: 1:53Familia ya Hezron Macharia, mwanafunzi Daktari aliyepatikana ameaga katika kidimbwi cha kuogelea kule Villlage Park Hotel Keumbu kaunti ya Kisii sasa yasema haijaridhishwa na matokeo ya upasuaji wakisema wanaenda kufanya ( toxicology tests) katika mahabara ya serikali kukagua iwapo kuna chambe chambe za sumu iliyosabisha kifo cha mwanao mwenye umri wa miaka 22.