Skip to main content
Skip to main content

watu 8 wafariki na wengine 27 wajeruhiwa kwenye ajali ya barabarani eneo la Salama

  • | Citizen TV
    42,775 views
    Duration: 2:59
    Watu wanane wamefariki huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa kwenye ajali ya barabarani eneo la salama kaunti ya Makueni. ajali hiyo ilihusisha magari manne katika eneo la ACK kwenye barabara ya Mombasa kuja hapa Nairobi.