Skip to main content
Skip to main content

Netanyahu asema Israel inasitisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa sasa. Katika Dira ya Dunia

  • | BBC Swahili
    50,860 views
    Duration: 28:10
    Jeshi la Iran sasa linasema linasitisha mashambulizi yake dhidi ya Israel ambayo yamefanyika kwa mara ya kwanza tangu makubaliano ya kusitisha mapigano miezi miwili iliyopita. Wakati huo huo, waziri mkuu wa Isreal Benjamin Netanyahu pia amesema Isreal inasitisha mashambulizi yake dhidi ya Iran Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw