Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Silas Kipkorir yamtafuta baada ya kutoweka akiwa nchini Afrika Kusini mwaka 2017

  • | KBC Video
    155 views
    Duration: 3:43
    Familia moja katika eneo la Namanga, kaunti ya Kajiado, imekuwa ikiishi kwa uchungu na maumivu kwa takriban muongo mmoja baada ya jamaa yao kutoweka nchini Afrika Kusini alikokwenda kutafuta kazi. Silas Kipkorir Butia aliondoka humu nchini mwaka wa 2017 kwenda Afrika Kusini kutafuta kazi ya kuwa dereva wa lori, lakini tangu wakati huo familia yake haijapata habari yoyote kuhusu mahali aliko. Juhudi za familia hiyo pamoja na mamlaka husika za kumtafuta hazijazaa matunda. Sasa familia hiyo inatoa wito kwa serikali iwasaidie kumpata jamaa yao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive