Skip to main content
Skip to main content

Familia zaidi ya 70 za maskwota Ndalala zaishi kwa hofu baada ya ardhi kuzungushiwa ua

  • | Citizen TV
    1,116 views
    Duration: 2:02
    familia zaidi ya 70 zinazoishi kama maskwota katika shamba la Ndalala, eneo la Kapkitany, kaunti ya Nandi, zinaishi kwa hofu baada ya sehemu kubwa ya ardhi hiyo kuwekwa ua.