Skip to main content
Skip to main content

Gachagua ajitaja kuwa chaguo bora la upinzani kumng’oa Ruto

  • | Citizen TV
    2,683 views
    Duration: 2:39
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua sasa anasema ndiye bora zaidi kwenye muungano wa upinzani atakayeweza kumshinda Rais William Ruto kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka ujao. Akitoa ripoti ya mikutano yake aliyofanya nyumbani kwake Wamunyoro, Kaunti ya Nyeri, Gachagua amejipigia debe akisema Wakenya waliomtembelea walimpa jukumu la kuhakikisha serikali ya Kenya Kwanza inawajibika na kuongoza safari ya kumuondoa Rais Ruto nyumbani. Gatete Njoroge na mengi zaidi.