Skip to main content
Skip to main content

Gavana wa Nairobi Sakaja awataka wakazi wa Nairobi kujiandaa na mvua za El Niño

  • | Citizen TV
    2,831 views
    Duration: 1:21
    Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amewahimiza wakazi wa Nairobi kujiandaa kwa mvua za El Niño zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba, akisema serikali inaendelea kuchukua hatua za mapema kuzuia mafuriko na kupunguza athari zake.