2 Sep 2026 7:46 pm | Citizen TV 1,308 views Duration: 1:20 Hali ya kawaida imerejea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, siku moja baada ya Muungano wa Wafanyakazi wa Viwanja vya Ndege (KAWU) kusitisha mgomo uliotatiza shughuli za usafiri wa anga.