Skip to main content
Skip to main content

Hali ya kawaida warejea JKIA baada ya mgomo

  • | Citizen TV
    1,308 views
    Duration: 1:20
    Hali ya kawaida imerejea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, siku moja baada ya Muungano wa Wafanyakazi wa Viwanja vya Ndege (KAWU) kusitisha mgomo uliotatiza shughuli za usafiri wa anga.