- 2,762 viewsDuration: 47s“ For 20 years, ODM waliandamana juu ya mtoto Pendo alipigwa risasi na polisi. Leo hii, Albert Ojwang aliuawa na polisi kwa cell. Juzi, kijana anaitwa Eric Otieno amepigwa risasi. Hawa watu hawawezi kuongea kwa sababu wako na chakula kwa mdomo."-Hon. Jayne Kihara