- 6,537 viewsDuration: 1:59Mwanamume anayetafutwa na polisi kuhusiana na ghasia zilizozuka katika mkutano wa kisiasa Homa Bay amejisalimisha kwa maafisa wa usalama, lakini akakataliwa. Oliver Jaoko Ochieng alikuwa ameelezwa na polisi kujisalimisha na kusaidia katika uchunguzi wa ghasia hizo Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows. Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya