Skip to main content
Skip to main content

Huduma za matibabu Kericho zaimarika baada ya serikali kuajiri wauguzi kwa kandarasi

  • | Citizen TV
    684 views
    Duration: 1:27
    Hali ya kawaida inaanza kurejea katika huduma za matibabu katika hospitali za Kericho baada ya Serikali ya Kaunti kuajiri wauguzi kwa kandarasi. Hatua hiyo inalenga kupunguza changamoto ya uhaba wa wahudumu wa afya na kuhakikisha wagonjwa wanapata huduma kwa wakati.