Wataalamu wa reli kutoka nchi saba za Afrika wameanza safari maalumu nchini China kutembelea Reli ya Qinghai–Tibet, maarufu kama "Reli ya Angani", ili kujifunza mafanikio yake ya kiuhandisi na maendeleo ya miundombinu ya reli.Maelezo zadi katika makala kuhusu ifahamu China
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive