- 29,039 viewsDuration: 14:41Leo ikiwa ni Julai 7, siku ya maadhimisho ya Saba Saba, maafisa wa usalama wameimarisha doria katika maeneo mbalimbali ya Nairobi na kaunti jirani ili kudumisha usalama na kukabiliana na hali yoyote inayoweza kuvuruga amani.