- 59,543 viewsDuration: 2:46Bilionea Aliko Dangote ametangaza rasmi kuwa kiwanda chake kipya cha kusafisha mafuta cha barani Afrika kitajengwa nchini Kenya badala ya Tanzania. Mradi huo unatarajiwa kuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 700,000 ya mafuta kwa siku. Uamuzi wa kuichagua Kenya unatokana na sababu zipi? Elizabeth Kazibure anaelezea #bbcswahili #kiwandachamafuta #mafuta Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw